SOMO LA 3


                     ZURIA LA POMPOM


Leo tuangalie namna ya kushona zuria la Kiroba.

 VIFAA 

1. Uzi

2. Kiroba

3. Sindano (Sio lazima)






UZI: Huu ndio uzi wetu unaotumika unapatikana maduka ya uzi ya jumla na maduka ya kawaida, unauzwa sh 1500 mwembamba na                                             mnene unauzwa sh 3000







KIROBA: Chora kiroba chako au mchoro wako uutakao. Utaweka vipompom vyako kwa kufuata mchoro wako ua lako kwa mtindo wa kutoboa kiroba kwa kwa kisu au mkasi. 

NAMNA YA KUSHONA NI KAMA IFUATAVYO KWENYE VIDEO HII YA CHINI HAPA.

                     
UTAANZA KUWEKA VIPOMPOM VYAKO KAMA INAVYOONYESHWA HAPO JUU KWENYE VIDEO

BAADA YA KUSHONA ZURIA LAKO LA VIPOMPOM LITAKUWA KAMA HIVII





Kama hujaelewa sehemu muulize mwalimu kupitia wasap:
Madam Meck 0715139472
Ticha Mau 07421722722.

©2021 Alright reserved by us


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii